Header ads

Header ads
CLUB MASAI KAHAMA
» »Unlabelled » KIJANA APIGWA SHOKA LA KICHWA BAADA YA KUFUMANIWA NA MKE WA MTU



Baada ya madaktari wa hospitali ya rufaa ya Bugando kupambana kuokoa maisha ya jamaa aliyefumaniwa na mke wa mtu huko Mwanza hatimaye wamefanikiwa kumtoa shoka kichwani na hali yake bado mbaya yuko ICU kwa uangalizi zaidi.KURADHI KWA PICHA HIZI

 MADAKTARI BINGWA WA KICHWA WAKISHIRIKI KUOKOA MAISHA YA KIJANA ALIYEFUMANIWA NA MKE WA MTU JIJI MWANZA KATIKA HOSPITALI YA RUFAA YA BUNGADO NA KUWENZA KUFANIKIWA KUTOA SHOKA HILO MARUFU KWA SOKOMOKO .KURADHI KWA PICHA HIZI
 MADAKTARI WAPOTOA SHOKA MAHARUFU KAMA SOKOMOKO YA KUCHIMBIA DHAHABU KWA WACHIMBAJI WANDOGOWADOGO. KURADHI KWA PICHA HIZI
MADAKTARI WAMEFANIKIWA KUTOA SHOKA HILO LAKI HALI YA HUYO KIJA BADO NI MBAYA SANA YUPO CHUMBA MAALUMU ICU KATIKA HOSPITAL YA RUFAA BUGANDO .KURADHI KWA PICHA HIZI

About Unknown

Kwa jina Naitwa MWEUSI waweza wasiliana nami namba 0757420837, 0629208856 au email: timotheosodoka@gmail.com
«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani

Hakuna maoni:

Leave a Reply