Tukio
hili la kustahajabishA limetokea nchini kenya ambapo mbuzi katika hali
ya kushangaza alizaa kitoto ambacho kiwiliwili ni cha mbuzi na kichwa ni
cha binadamu.
Tukio
hilo limezua gumzo miongoni mwa wanakijiji waliohudhuria tukio hilo
kwani wengi wanasema ni tukio la kwanza kutokea mtaani hapo, wengi wao
wakilihusisha na imani za kishirikina huku wengine wakidai ni miujiza tu
ya mwenyezi mungu.
Hata hivyo kimwanambuzi hicho kilifukiwa kwani tayari kilikua kimeshafariki baada ya kuzaliwa
Hakuna maoni: