Header ads

Header ads
CLUB MASAI KAHAMA
» »Unlabelled » HATIMAYE FLAVIANA MATATA AVISHWA PETE YA UCHUMBA

Mwanamitindo wa kimataifa anayetokea Tanzania, Flaviana Matata ambaye amekuwa akiishi Marekani, kafungua ukurasa  mpya kwenye maisha yake baada ya kuvishwa pete ya Uchumba. 
matata
 
Kwa furaha aliyokua nayo, Flavvy aliipost picha kwenye page yake ya Instagram @FlavianaMatata Nov 16 2014 na kuionyesha hiyo pete na kama vile haitoshi, akaandika maneno ya ‘I said YES‘ ambapo Yes aliiandika kwa herufi kubwa…. yaani ‘Nilikubali au nilisema ndio’


Baada ya kujua kwamba sasa Flaviana Matata kavishwa pete tayari, kingine kinachosubiriwa ni kumjua shemeji

About Unknown

Kwa jina Naitwa MWEUSI waweza wasiliana nami namba 0757420837, 0629208856 au email: timotheosodoka@gmail.com
«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani

Hakuna maoni:

Leave a Reply