Header ads

Header ads
CLUB MASAI KAHAMA
» »Unlabelled » Picha za Ndege aliyekuwa Anapaa na kugeuka kuwa Mwanamke

Mapema wiki hii katika kijiji cha Oshindi nchini Nigeria wananchi walishuhudia sinema ya  bure  ambapo kamera zao zilikuwa macho yao na simu zao pale ndege aliyekuwa anapaa angani ghafla alianguka chini baada ya kudandia nyaya za umeme na kugeuka mwanamke.
 
Kitendo hicho kiliwaacha wananchi vinywa wazi wasijue la kufanya huku wakibaki kupiga picha kwa  kutumia simu zao za mikononi.
 
Mwanamke huyo alionekana kuchubuka na kuwa na vidonda katika mwili wake hali iliyo kuwa inahuzunisha huku akiwa haongei (bubu) .
 
Wananchi hao walimuuliza maswali  mengi wakitaka kujua imekuaje hadi akageuka binadamu wakati yeye alikuwa ndege anapaa juu.
 
Mama huyo aliwajibu kuwa alikuwa anaenda kumtazama binti yake aliyekuwa amejifungua muda mchache.
 
Habari zinasema kuwa mwanamke huyo alikuwa mchawi na binti yake alikuwa anafanya sala wakati yule mama alikuwa anapaa.
MCHAWI
 
Inaelezwa kuwa wakati sala inaendelea ndipo mwanamama  huyo aliyekuwa  amejibadilisha  na  kuwa  ndege akageuka binadamu.
 
Taarifa  zinaarifu  kuwa binti yake alikuwa kila akijifungua,  mtoto anafariki papo hapo.
 
 

About Unknown

Kwa jina Naitwa MWEUSI waweza wasiliana nami namba 0757420837, 0629208856 au email: timotheosodoka@gmail.com
«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani

Hakuna maoni:

Leave a Reply