Header ads

Header ads
CLUB MASAI KAHAMA
» »Unlabelled » DIWANI KATA YA NYASUBI WILAYANI KAHAMA AWATIAMOYO WASANII WA FILAM .

DIWANI KATA YA NYASUBI.LEONARD MAYARA AKIWAPA MOYO WASANII WA FILAM WILAYANI KAHAMA.


PICHANI JUU NI MUIGIZAJI MKONGE KWENYE TASNIA YA FILAM MAARUFU KAMA BAD BOY.
Wakati mji wa Kahama unazidi kukua kwa kasi hususani uchumi ,Maendeleo upande wa sanaa nayo yanazidi shika kasi kutokana na kutambua umuhimu wa sanaa diwani kata ya Nyasubi Leonard Mayara, amewatia moyo wasanii hao kwa kuwaambia wasikate tamaa kwani mafanikio yanakuja.aliongea diwani alipohudhulia mazoezi ya kuigiza katika ukumbi wa Samanga D yanapofanyika mazozi hayo.Vijana mbalimbali wamejitokeza kushiriki kwenye mazoezi hayo kwa ajili ya kutengeneza filam itakayo fanyika hapahapa mjini Kahama. Filam hiyo inategema kushirikisha wasanii mbalimbali maarufu wa Bongo move.KAZI KWENU WASANII WA KAHAMA

About Unknown

Kwa jina Naitwa MWEUSI waweza wasiliana nami namba 0757420837, 0629208856 au email: timotheosodoka@gmail.com
«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani

Hakuna maoni:

Leave a Reply