Header ads

Header ads
CLUB MASAI KAHAMA
» »Unlabelled » MWANZA BADO PAMECHAFUKA


POLISI WAPAMBANA NA MACHINGA MKOANI MWANZA

Ikiwa unatukio lolote au jambo lolote tuma kupitia Barua pepe yetu kahamayetu@gmail.com au  namba0715 640 443 .  JESHI la Polisi mkoani Mwanza, limelazimika kutumia mabomu ya machozi kuwatawanya wafanyabiashara ndogo (wamachinga) waliokuwa wanapinga kuondolewa katika eneo la Kempu na eneo la soko la Makoroboi jijini humo.Aidha, hatua hiyo imesababisha vurugu na kusimamishwa kwa shughuli mbalimbali za kijamii, ikiwemo kufungwa kwa maduka hadi katikati ya eneo la jiji na baadhi ya huduma ya usafiri kukosekana kwa muda katika barabara zinazokatiza katikati ya jiji hilo, ambapo kuanzia nne asubuhi hadi tunaenda hewani.

About Unknown

Kwa jina Naitwa MWEUSI waweza wasiliana nami namba 0757420837, 0629208856 au email: timotheosodoka@gmail.com
«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani

Hakuna maoni:

Leave a Reply