Header ads

Header ads
CLUB MASAI KAHAMA
» »Unlabelled » JOKATE AWAGOMEA WAGOMBEA URAIS 2015, NA AMESEMA HATAKI KUJIUNGA NA CHAMA CHOCHOTE HATA WAMUITE

MWANAMITINDO na mtangazaji maarufu Bongo, Jokate Mwegelo amewagomea wagombea urais wote waliotangaza nia cha kuingia ikulu Oktoba, mwaka huu.

Mwanamitindo na mtangazaji maarufu Bongo, Jokate Mwegelo.

Jokate aliyasema hayo alipoulizwa na Global TV Online Ijumaa iliyopita kuhusu kuelekea Uchaguzi Mkuu 2015 kuwa, amejiandaaje na yupo kambi gani kati ya wagombea urais waliotangaza nia na wale ambao bado.“Hadi sasa sipo katika chama chochote na sitaki kuitwa wala sitegemei kujiunga na timu yoyote ya wagombea urais wa mwaka huu,” alisema Jokate.

Wagombea wanaotarajiwa kuingia kwenye kinyang’anyiro cha urais ni Edward Lowassa (CCM), Benard Membe (CCM), Mwigulu Mchemba (CCM), January Makamba (CCM), Dk. Slaa (Chadema), Ibrahim Lipumba (Cuf) na wengine wengi.

About Unknown

Kwa jina Naitwa MWEUSI waweza wasiliana nami namba 0757420837, 0629208856 au email: timotheosodoka@gmail.com
«
Next
Makubwa Haya!! KIJANA AAMUA KUKATA MIKONO YAKE ILI KUEPUKA KUINGIA FACEBOOK!!
»
Previous
Kumekucha CCM!! MAKADA 6 ,LOWASSA,NGELEJA,WASIRA,MAKAMBA,MEMBE & SUMAYE SASA WAKO HURU........

Hakuna maoni:

Leave a Reply