Header ads

Header ads
CLUB MASAI KAHAMA
» »Unlabelled » Makubwa Haya!! KIJANA AAMUA KUKATA MIKONO YAKE ILI KUEPUKA KUINGIA FACEBOOK!!

Matumizi ya mitandao ya kijamii kama Facebook, Twitter, Instagram ni kitu ambacho kimeshika chati sana kwa sasa duniani, vijana wameonekana kuwa waathirika wakubwa wa matumizi ya mitandao hii.

Kijana Little Wang ambaye umri wake ni miaka 19 huko China aliona njia pekee ya kukomesha tabia yake ya kupenda kutumia laptop na simu kuingia mtandaoni ni kujikata mkono wake, alipoona hali haimwendei sawa aliita taxi impeleke Hospitali ambapo hakuna aliyejua kinachoendelea nyumbani kwao, aliacha ujumbe kwamba ametoka kwenda Hospitali na angerudi muda mfupi baadaye.

Madaktari walimfanyia operation kuunga mkono huo huku wakiwa na matumaini kwamba baadae utaweza kufanya kazi kama ilivyokuwa mara ya kwanza kabla hajaukata. 

Mama yake Little alisononeshwa na kitendo hiki na kusema hakutegemea mtoto wake angeweza kujifanyia ukatili wa aina hii.

About Unknown

Kwa jina Naitwa MWEUSI waweza wasiliana nami namba 0757420837, 0629208856 au email: timotheosodoka@gmail.com
«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani

Hakuna maoni:

Leave a Reply