Header ads

Header ads
CLUB MASAI KAHAMA
» » HARMONIZE AKIRI KUTUMIA BEAT NA MASHAIRI YA PCK

Hatimae  HARMONIZE amekiri wazi kuwa kweli ametumia mashairi na beat ya PCK bila ridhaa yake na kuomba msamaha kuwa hatorudia kosa na amesema tayari wapo kwenye mazungumzo na uongozi wake ili waweze kulitatua hili swala na waandishi wa habari walipo mpigia simu PCK wakamuulize ikiwa watasema wamlipe anahitaji kulipwa kiasi gani, PCK akasema kwa kuwasamehe na kwakuwa HARMONIZE kakiri kosa basi amlipe shilingi za kitanzania milioni tatu.
PCK ameendelea kusema kuwa yeye hafanyi mziki njaa ila HARMONIZE angemuomba angemtungia mashairi mazuri tu!!!! na mbona nimewatungia wasanii wengi na nyimbo zikawa hit song na mfano kwa hit song niliyoitunga ilikuwa ni nyimbo ya mziki wa Darasa na mbona Darassa sijamfuatilia!! ni kwakuwa tumeelewana kabla ya kutoa nyimbo na Darassa alipoulizwa kuhusu hilo, alikiri ni kweli PCK ni mtu ambaye ana uwezo mkubwa wa kutunga nyimbo za kila aina.....!!!!
HAYA SASA MLIOKUWA MNASEMA KUWA PCK ANATAFUTA KIKI .....sasa mmejionea yaliyojiri? au mtasema tena HARMONIZE amekubali ili ampe kiki PCK???? WCB KWISHNEY

About Unknown

Kwa jina Naitwa MWEUSI waweza wasiliana nami namba 0757420837, 0629208856 au email: timotheosodoka@gmail.com
«
Next
Chapisho Jipya
»
Previous
Taarifa za zamani

Hakuna maoni:

Leave a Reply