MAMA wa
aliyekuwa nguli wa filamu Bongo, marehemu Steven Kanumba, Flora Mtegoa
amesema kama kuna msanii anataka kufikia ‘levo’ za mwanaye basi asali
sana.
”Miongoni mwa siri kubwa za mafanikio kwa mwanangu zilizomfanya awike kuliko wengine ni kupenda kuthubutu, kusali sana na kutokuwa na wivu wa maendeleo kwa kujiepusha na majungu.
Marehemu Steven Kanumba,enzi za uhai wake.
“Tatizo wasanii wetu hawa hawapendi kuthubutu wamekalia tu kufanyiana
majungu, hawapendi kuona mwenzao anafanikiwa wanaanza kumfitini, ni
vizuri wangejifunza kitu kwa Kanumba ambaye alipenda kuthubutu,” alisema
mama kanumba
Hakuna maoni: